Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
Kidege, hukuwaza kidege
Kidege, hukuwaza kidege
Ningekuoa mali we, ningekuoa dada
Woooo, Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Malaika, nakupenda Malaika
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Nashindwa na mali sina we
Ningekuoa Malaika
La la laj, la la la la la la laj laj
La la laj, la la la la la la laj laj
Nami nifanyeje, kijana mwenzio
Woooo, Malaika, nakupenda Malaika
Lyrics send: lubošu
|